Recent Posts from MC. Lawrence Mwantimwa

Am Happy today... going to Church...

No comments

Nampenda tu, hivi hivi alivyo nampenda tu

No comments
Nampenda tu, hivi hivi alivyo nampenda tu...hata iweje nampenda tu.....hata useme hatujafanana...mimi Nampenda tu....I am a Man because of this Angel.......Love u Wema Munisi Mwantimwa...

ni bora tukatumia Nguvu kubwa pia katika kumtafuta Mungu

No comments
Kuna wakati tunatumia Nguvu kubwa sana kusaka Pesa....ila kumbuka Tutaziacha hapahapa Duniani...ni bora tukatumia Nguvu kubwa pia katika kumtafuta Mungu ambaye hatatuacha Milele na milele......

Kilimo ni moja ya Sekta vijana tumeikimbia kwa muda mrefu

No comments
Kilimo ni moja ya Sekta vijana tumeikimbia kwa muda mrefu na kuwaachia wazee na watu wachache sana... hii ni fulsa muhimu sana kama tukianza kuwekeza japo taratibu kipande hii pia... hapa ni Lufiji bado kuna mashamba mengi na yanauzwa bei rahisi tu.... kuna maji through out a year na kunastawi mazao mengi sana... any one interested check nami nikupe contacts za wenyeji huko wakuwezeshe....

UNAWEZA KUWA CHOCHOTE UTAKACHO

No comments
Kuna watu nikiwatazama napata Uthibitisho kwamba katika Maisha UNAWEZA KUWA CHOCHOTE UTAKACHO..ukikaa na Masanja.. Street Gospo Ministri akakupa historia yake...unaweza bisha kwamba alikuwa anatembea kwa miguu toka Tabata hadi Magomeni..alikuwa na Funza miguuni na maisha Duni sana...lakini leo ana Nyumba za kueleweka hapahapa Mjini..anchange Cars muda anaotaka.. anasafiri kwa Ndege kama Bajaj vile na amekuwa Msemaji kwa watu mashuhuri sana na Viongozi pia.. lakini ukiwa naye anasema nado kabisa hajafikia malengo yake.... Jichunguze Ndoto na Malengo yako na jipe dakika moja tu...Mwambie Kitu huyu Mchungaji kijana....

Kweli kila kitu kina watu wake

No comments
Kweli kila kitu kina watu wake...hata kwa kulipwa siwezi Kuvaa hivi vitu...utaifikiri Comedian??

Mission accomplished hotuba kwa Taifa imefanyika...

No comments
Mission accomplished hotuba kwa Taifa imefanyika...