Kilimo ni moja ya Sekta vijana tumeikimbia kwa muda mrefu

No comments
Kilimo ni moja ya Sekta vijana tumeikimbia kwa muda mrefu na kuwaachia wazee na watu wachache sana... hii ni fulsa muhimu sana kama tukianza kuwekeza japo taratibu kipande hii pia... hapa ni Lufiji bado kuna mashamba mengi na yanauzwa bei rahisi tu.... kuna maji through out a year na kunastawi mazao mengi sana... any one interested check nami nikupe contacts za wenyeji huko wakuwezeshe....

No comments :

Post a Comment